Mwezi Tumia eneo hili kwa maneno yanayohusiana na mwezi


Page 8.6.1.1 Sehemu ya nyuma



Download 2.8 Mb.
Page192/206
Date08.01.2017
Size2.8 Mb.
#7963
1   ...   188   189   190   191   192   193   194   195   ...   206

Page

8.6.1.1 Sehemu ya nyuma


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na sehemu ya nyuma ya kitu.

(1) Maneno gani hutaja sehemu ya nyuma ya kitu fulani?

back (n), rear, hind end,

(2) Maneno gani huelezea kitu kilichopo sehemu ya nyuma?

back (adj), rear, posterior,

8.6.1 Sehemu ya mbele


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na sehemu ya mbele ya kitu fulani.

(1) Maneno gani hutaja sehemu ya mbele ya kitu?

front (n), face, facade,

(2) Maneno gani huelezea kitu kilichopo sehemu ya mbele?

front (adj), frontal, anterior

8.6.2.1 Sehemu ya chini


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na sehemu ya chini ya kitu fulani.

(1) Maneno gani hutaja sehemu ya chini ya kitu?

bottom (n), underside, base, breech, foot, foundation, ventral, undersurface,

(2) Maneno gani huelezea kitu kilichopo sehemu ya chini?

bottom (adj),

8.6.2 Sehemu ya juu


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na sehemu ya huu ya kitu.

(1) Maneno gani hutaja sehemu ya juu ya kitu?

top (n), topside, summit, peak, pinnacle, cap, head,

(2) Maneno gani huelezea kitu kilichopo sehemu ya juu?

top (adj), uppermost,

8.6.3 Sehemiu ya pembeni


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na sehemu ya pembeni ya kitu fulani.

(1) Maneno gani hutaja sehemu ya pembeni ya kitu?

side (n), flank, right side, left side,

(2) Maneno gani hutaja eneo lililopo upande mmoja wa ukuta au mpaka?

side,

(3) Maneno gani huelezea kitu kilichopo sehemu ya pembeni?

side (adj), lateral,

8.6.4.1 Sehemu ya nje


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na sehemu ya nje (au sehemu ya uso) ya kitu fulani.

(1) Maneno gani hutaja sehemu ya nje ya kitu?

outside (n), exterior, surface, cover, covering, skin, shell

(2) Maneno gani huelezea kitu kilichopo sehemu ya nje?

outside (adj), outer, external, surface, superficial,

8.6.4 Sehemu ya ndani


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na sehemu ya ndani ya kitu fulani.

(1) Maneno gani hutaja sehemu ya ndani ya kitu?

inside (n), interior, innards, lining, framework,

(2) Maneno gani huelezea kitu kilichopo sehemu ya ndani?

inside (adj), interior, inner,

8.6.5 Sehemu ya katikati


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na sehemu ya katikati au kiina cha kitu fulani.

(1) Maneno gani hutaja sehemu ya katikati au kiina cha kitu?

middle (n), center, the heart of, core,

(2) Maneno gani huelezea kitu kilichopo sehemu ya katikati?

middle (adj), center (adj), central,

(3) Maneno gani huonyesha kwamba kitu kipo katikati ya kitu au eneo?

in the middle, at the center,

(4) Maneno gani hutaja sehemu iliyopo katikati ya sehemu mbili, au mida miwili, au hata kiasi mbili?

in the middle, halfway, midway, midpoint,

8.6.6 Sehemu ya ukingo


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na sehemu ya ukingo ya kitu fulani -- yaani, sehemu ya kitu zinapokutana upande mbili.

(1) Maneno gani hutaja sehemu ya ukingo ya kitu?

edge (n), border, outskirts, perimeter, margin, periphery, curb

(2) Maneno gani hutaja ukingo wa eneo la ardhi fulani?

border, boundary, frontier,

(3) Maneno gani hutaja ukingo wa sahani au kikombe?

rim, lip, brim,

(4) Maneno gani hutaja ukingo wa nguo?

hem, fringe,

(5) Maneno gani hutaja kitu kinachowekwa ukingoni wa kitu fulani?

frame, edging, skirting,

(6) Maneno gani huelezea kitu kilichopo sehemu ya ukingo?

edge (adj), peripheral, marginal, border (adj), bordering,

(7) Maneno gani hutaja pembe ya kitu?

corner (n),

(8) Maneno gani huelezea kitu kilichopo kwenye pembe ya kitu?

corner (adj),

8.6.7 Sehemu ya kikomo


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na sehemu ya kikomo ya kitu fulani.

(1) Maneno gani hutaja sehemu ya kikomo ya kitu?

end (n), point, tip, nose, head,

(2) Maneno gani huelezea kitu kilichopo sehemu ya kikomo?

end (adj), pointy,

8.6 Sehemu


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na sehemu. Kwa baadhi ya lugha maneno haya yanatokana na sehemu za mwili.

(1) Maneno gani ya kawaida hutaja sehemu ya kitu, kwa jumla?

part, piece, section, component, portion, bit

(2) Ikiwa kitu kina upande mbili, maneno gani hutaja upande ule mwingine?

the back, the reverse, the other side, the flip side,

(3) Maneno gani hutaja sehemu ya kitu kinachotumika kukishikilia?

handle, grip

(4) Maneno gani hutaja sehemu kuu za kitu?

body, chassis

(5) Maneno gani hutaja kitu fulani kinachowekwa na sehemu kuu ya jambo fulani?

appendage, appurtenance, adjunct, accessory, addition, attachment

(6) Maneno gani hutaja rusu ya kitu?

layer, level, stratum, stratified, story, floor, sandwich

(7) Maneno gani hutaja sehemu ya kitu fulani?

flap, detail, bar, blade, hook, lid, neck, nose, shelf, wheel, longitudinal, projection,

Page

8 Hali


Tumia eneo la maana hili kwa maneno ya kwaida yanayohusiana na hali ya kitu fulani kwa jumla.

(1) Maneno gani ya kawaida hutaja hali ya kitu kwa jumla?

hali, tabia

(2) Maneno gani huonyesha hali ya kitu ilivyo?

be, fare, stand,



Download 2.8 Mb.

Share with your friends:
1   ...   188   189   190   191   192   193   194   195   ...   206




The database is protected by copyright ©ininet.org 2024
send message

    Main page