Mwezi Tumia eneo hili kwa maneno yanayohusiana na mwezi



Download 2.8 Mb.
Page121/206
Date08.01.2017
Size2.8 Mb.
#7963
1   ...   117   118   119   120   121   122   123   124   ...   206

6.2.1.2.2 Kulima muhogo


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na tendo la kuotesha au kulima muhogo.

(1) Maneno gani hutaja tendo la kuotesha au kulima muhogo?

cassava

6.2.1.2 Kuotesha au kulima mazao yanayotokana na mizizi


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na kuotesha au kulima mazao yawekayo chakula katika mizizi k.m., kazisukari, karoti, muhogo, vitungu shaumu, tangawizi, liki, viazi, myugwa, ua la tanipu, na kiazi kikuu. Ikiwa mazao maalumu yanalimwa kwa wingi na kuna maneno mengi yanayohusika, anzisha eneo la maana kwa ajili yake. Imeshafanyika kwa viazi, na muhogo, kwa sababu haya ni kawaida duniani pote.

(1) Maneno gani hutaja tendo la kuotesha au kulima mazao yawekayo chakula katika mizizi?

root, uproot

6.2.1.3 Kuotesha au kulima mboga za majani


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na tendo la kuotesha au kulima mboga za majani, k.m., asparaga, maharage, brokoli, kabeji, mchadi, matango, bilinganya, tikiti, njegere, pilipili hoho, mboga, mchicha, boga, nyanya, n.k. Ikiwa mboga za majani maalumu zinalimwa kwa wingi na kuna maneno mengi yanayohusika, anzisha eneo la maana kwa ajili yake.

(1) Maneno gani hutaja tendo la kuotesha au kulima mboga za majani?

vegetable garden, hoe, pick

6.2.1.4.1 Kuotesha zabibu, kulima zabibu


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na tendo la kuotesha au kulima zabibu.

(1) Maneno gani hutaja tendo la kuotesha au kulima zabibu?

grape, pick, vine, vineyard, prune, winepress, cluster, wine, grape juice

6.2.1.4.2 Kulima ndizi


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na tendo la kuotesha au kulima ndizi.

(1) Maneno gani hutaja tendo la kuotesha au kulima ndizi?

banana, stalk, flower, finger, hand, bunch, pulp, prune, leaf, leaf stem, stem

6.2.1.4 Kuotesha au kulima matunda


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na tendo la kuotesha au kulima matunda, k.m., maembe, ndizi, maparachichi, mapapai, mananasi, n.k. Ikiwa matunda maalumu yanalimwa kwa wingi na kuna maneno mengi yanayohusika, anzisha eneo la maana kwa ajili yake. Imeshafanyika kwa zabibu, na ndizi kwa sababu matunda haya ni kawaida duniani kote.

(1) Maneno gani hutaja kuotesha au kulima matunda?

pick, press, juice, fruit juice

6.2.1.5.1 Kuotesha miwa, kulima miwa


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na tendo la kuotesha au kulima miwa.

(1) Maneno gani hutaja tendo la kuotesha au kulima miwa?

sugarcane, press, juice, pulp, boil, sugar

6.2.1.5.2 Kuotesha tumbaku, kulima tumbaku


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na tendo la kuotesha au kulima tumbaku.

(1) Maneno gani hutaja tendo la kuotesha au kulima tumbaku?

tobacco, leaf, dry, rack, cut

6.2.1.5 Kuotesha nyasi, kulima nyasi


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na tendo la kuotesha au kulima nyasi, k.m., tabaka la juu la udongo, nyasi kavu, majani ya kulisha ng’ombe, mwanzi, mafunjo, miwa, na tumbaku. Ikiwa nyasi maalumu yanalimwa kwa wingi na kuna maneno mengi yanayohusika, anzisha eneo la maana kwa ajili yake. Imeshafanyika kwa miwa, na tumbaku kwa sababu nyasi hizi ni kawaida duniani pote.

(1) Maneno gani hutaja tendo la kuotesha au kulima nyasi?

sod, hay, alfalfa, mow, haystack, bale

6.2.1.6 Kuotesha maua


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na tendo la kuotesha maua. Ikiwa maua maalumu yanalimwa kwa wingi na kuna maneno mengi yanayohusika, anzisha eneo la maana kwa ajili yake.

(1) Maneno gani hutaja tendo la kuotesha maua?

bustani

6.2.1.7.1 Kuotesha nazi, kulima nazi


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na tendo la kuotesha au kulima mnazi au nazi.

(1) Maneno gani hutaja tendo la kuotesha au kulima mnazi au nazi?

coconut, husk, shell, copra, milk, dry

6.2.1.7.2 Kuotesha kahawa, kulima kahawa


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na tendo la kuotesha au kulima mkahawa au kahawa.

(1) Maneno gani hutaja tendo la kuotesha au kulima mkahawa au kahawa?

bean, dry, grind

6.2.1.7 Kuotesha miti


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na tendo la kuotesha miti. Ikiwa miti maalumu yanalimwa kwa wingi na kuna maneno mengi yanayohusika, anzisha eneo la maana kwa ajili yake. Imeshafanyika kwa mnazi, na kahawa kwa sababu miti hii ni kawaida duniani pote.

(1) Maneno gani hutaja tendo la kuotesha miti?

kuotesha mche, kupogoa (matawi), kupandikiza chipukizi

6.2.1 Kuotesha mazao, kulima mazao


Tumia eneo la maana hili kwa maneno ya kawaida yanayohusiana na tendo la kuotesha au kulima mazao kwa jumla. Ikiwa mazao maalumu yanalimwa kwa wingi na kuna maneno mengi yanayohusika, anzisha eneo la maana linigine kwa ajili yake (tumia namba 6.2.1.4, 6.2.1.5 n.k.).

(1) Maneno gani hutaja tendo la kuotesha au kulima mazao?

kulima

(2) Maneno gani hutaja kitu kinachooteka?

crop, produce (n),

6.2 Kilimo


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na kilimo--yaani, kufanya kazi na mimea.

(1) Maneno gani ya kawaida hutaja tendo la kufanya kazi na mimea kwa jumla?

kilimo

Page

6.2.2.1 Kusafisha shamba


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na tendo la kusafisha shamba.

(1) Maneno gani hutaja tendo la kusafisha shamba?

kusafisha (shamba), kuchoma (majani), kufyeka, kung'oa (mizizi au magugu)

6.2.2.2 Kulima shamba


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na tendo la kulima shamba.

(1) Maneno gani hutaja tendo la kulima shamba?

kulima, jembe, plau



Download 2.8 Mb.

Share with your friends:
1   ...   117   118   119   120   121   122   123   124   ...   206




The database is protected by copyright ©ininet.org 2024
send message

    Main page