Mwezi Tumia eneo hili kwa maneno yanayohusiana na mwezi



Download 2.8 Mb.
Page8/206
Date08.01.2017
Size2.8 Mb.
#7963
1   ...   4   5   6   7   8   9   10   11   ...   206

1.3.4 Kuwa ndani ya maji


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayotaja hali ya kuwa ndani ya maji au kuweka kitu kwenye maji.

(1) Maneno gani hutaja hali ya kuwa ndani ya maji?

be in water

(2) Maneno gani hutaja kitu kikielea juu ya maji?

float, float down river, afloat

(3) Maneno gani hutaja hali ya kuwa chini ya maji?

immersed, submerged, undersea, underwater, submarine, sunken,

(4) Maneno gani hutaja tendo la kuweka kitu kwenye maji?

dip, immerse, dunk, baptize, plunge, submerge,

(5) Maneno gani hutaja tendo la kuweka kitu kama chakula kwenye maji kwa muda mrefu?

soak, marinate,

(6) Maneno gani hutaja hali ya kitu kudondoka au kuzama kwenye maji?

fall, sink, settle,

(7) Kitu hutoa sauti gani kinapodondoka kwenye maji?

splash, plop

1.3.5 Miyeyusho ya maji


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayotaja mchanganyiko wa maji na kitu chochote (kama vile chumvi au sukari) kinachoyeyuka katika maji.

(1) Maneno gani hutaja kuchanganya kitu fulani na maji?

kuchanganya na maji, myeyusho

(2) Maneno gani hutaja kitu kinachoyeyuka katika maji?

kuyeyuka katika maji, kufanya myeyusho

(3) Maneno gani hutaja kuongeza maji zaidi katika myeyusho?

kuongeza maji, kuzimua

(4) Maneno gani hutaja kuongeza kitu zaidi katika myeyusho?

kufanya nzito, kufanya rojorojo, kugandamiza

(5) Maneno gani hutaja kuongeza hewa au gesi kwenye maji?

aerate, carbonated, carbonation

(6) Maneno gani hutaja tendo la maji kupitia kwenye kitu na kuyeyusha kitu ndani yake?

leach

1.3.6 Ubora wa maji


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayoelezea sifa, hali au ubora wa maji.

(1) Maneno gani huelezea tofauti kati ya maji ya chumvi na maji yasiyo na chumvi?

maji baridi, maji ya chumvi, maji ya bahari, myeyusho wa chumvi

(2) Maneno gani hutaja maji ya kunywa?

drinking water, potable

(3) Maneno gani huelezea maji safi?

maji safi, maji meupe, maji ya kunywa, maji halisi, maji maangavu

(4) Maneno gani huelezea maji machafu?

maji machafu, yenye uchafu, yaliyojaa mashapo, yenye tope

(5) Maneno gani hutumika kwa kutakasa maji?

kuchuja, chujio, maji yamechemshwa

(6) Maneno gani hutumika kwa kuchafua maji?

kuchafua, yenye maambukizo, yanayochukua taka za kila aina ndani yake

1.3 Maji


Tumia eneo la maana hili ili kupata maneno ya kawaida yanayotaja maji kwa jumla.

(1) Maneno gani ya kawaida hutaja maji kwa jumla?

maji, unyevunyevu, ya majimaji

(2) Maneno gani hutaja kitu kinachohusiana na maji au kinachopatikana katika maji?

watery, aquatic, amphibious

(3) Maneno gani huelezea kitu ambacho maji hayawezi kukipitia ndani yake?

waterproof, watertight

Page

1.4.1 Viumbe visivyo na uhai


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayotaja viumbe visivyo na uhai--yaani viumbe vilivyokuwa na uhai awali, lakini sasa havina uhai.

(1) Maneno gani hutaja viumbe visivyo na uhai?

decay, remains, compost, carrion,

(2) Maneno gani huelezea kitu ambacho kimekufa?

dead, lifeless,

(3) Maneno gani hutaja kitu ambacho hakina uhai na hakijakuwa na uhai daima?

inanimate, inorganic,

(4) Maneno gani hutaja hali ya aina fulani ya mnyama (au mmea au mti) kufa kabisa na kutoweka?

extinct, extinction, endangered species

(5) Maneno gani hutaja mimea na wanyama ambao hawapatikani siku hizi?

dinosaur, fossil, extinct

1.4.2 Roho za vitu


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayotaja roho za vitu.

(1) Maneno gani hutaja roho za vitu?

spirit, animal spirits,

(2) Maneno gani hutaja tendo la kuongea na roho hizo?

commune,

(3) Maneno gani hutaja tendo la kuabudu roho hizo?

animism, animistic,

(4) Maneno gani hutaja vifaa na vyombo vinavyotumika katika kuabudu roho hizo?

amulet, fetish,

1.4 Viumbe hai


Tumia eneo la maana hili kwa maneno ya kawaida yanayohusiana na viumbe vyenye uhai kwa jumla tu.

(1) Maneno gani hutaja viumbe vyote vyenye uhai, mimea pamoja na wanyama?

living things, life, all life, every living thing, everything that lives and breathes, plants and animals, organic matter

(2) Maneno gani hutaja kitu kilicho na uhai?

living thing, life form, organism,

(3) Maneno gani hutaja hali ya kuwa hai?

be alive, live

(4) Maneno gani huelezea kitu kilicho na uhai?

living, alive, animate, organic

(5) Maneno gani ya kawaida hurejea katika sehemu za viumbe vyote vyenye uhai?

chembe ya uhai, seli, utando

(6) Maneno gani hutaja masomo au utafiti wa viumbe hai?

biolojia, elimu viumbe

(7) Maneno gani hutaja ikiwa mmea au mnyama anaweza kuliwa?

edible, inedible

Page

1.5.1 Mti


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayotaja miti--yaani mimea mikubwa yenye shina la mbao na majani.

(1) Maneno gani ya kawaida hurejea katika miti yote?

mti

(2) Maneno gani hutaja aina ya miti kwa jumla?

mti usiokauka, mchikichi, mti wenye matunda yaliwayo, miti inayopukutika majani yake

(3) Kuna aina gani za miti?

acacia, alder, almond, apple, apricot, ash, aspen, avocado, azalea, balsa, balsam, banyan, bayberry, beech, betel nut, birch, blackberry, blueberry, box, boxwood, Brazil, breadfruit, broom, camellia, cashew, cassia, catalpa, cedar, cherry, chestnut, chinaberry, cinnamon, cinchona, citron, citrus, clove, coca, coconut, coffee, cornel, cottonwood, cranberry, currant, cypress, date, dogwood, ebony, elder, elm, eucalyptus, fig, fir, forsythia, gardenia, gingko, grapefruit, guava, gum, hawthorn, hazel, hazelnut, hemlock, henna, hickory, ironwood, juniper, jute, kumquat, laburnum, larch, laurel, lemon, lignum, lilac, lime, linden, litchi, locust, magnolia, mahogany, mango, mangrove, manzanita, maple, marihuana, marijuana, mesquite, mimosa, mistletoe, mulberry, myrtle, nutmeg, oak, oleander, olive, orange, papaw, papaya, persimmon, peach, pear, pecan, persimmon, pine, pistachio, plane, plum, poinciana, pomegranate, poplar, quince, redwood, rosewood, sandalwood, sapling, sassafras, satinwood, saxifrage, scrub, senna, sequoia, sisal, spruce, spurge, stinkwood, sumac, sycamore, tamarack, tamarind, tamarisk, tangerine, teak, walnut, upas, willow, yew, ylang-ylang

(4) Aina gani za miti hutumika kama mapambo?

bonsai

(5) Maneno gani hutaja kundi la miti?

msitu, kijisitu



Download 2.8 Mb.

Share with your friends:
1   ...   4   5   6   7   8   9   10   11   ...   206




The database is protected by copyright ©ininet.org 2024
send message

    Main page