Mwezi Tumia eneo hili kwa maneno yanayohusiana na mwezi



Download 2.8 Mb.
Page31/206
Date08.01.2017
Size2.8 Mb.
#7963
1   ...   27   28   29   30   31   32   33   34   ...   206

2.6.1.2 Harusi


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na sherehe ya harusi.

(1) Maneno gani hutaja sherehe ya harusi?

harusi

(2) Maneno gani hutaja kufunga ndoa kwa siri?

elope, elopement,

(3) Sehemu za harusi zinaitwaje?

kuwapokea wageni, kuweka nadhiri ya ndoa, matangazo, tafrija

(4) Maneno gani huwataja watu wanaooana?

mwanaharusi, bibiharusi

(5) Watu wengine wanaoshiriki harusi wanaitwaje?

wageni, waalikwa, msindikizaji wa maharusi

(6) Maneno gani hutaja tendo la kufungisha ndoa?

marry (the couple), perform the wedding,

(7) Maneno gani humtaja mtu anayefungisha ndoa?

minister, justice of the peace,

(8) Nguo zinazovaliwa kwenye harusi zinaitwaje?

nguo za harusi, gauni, shela

(9) Vitu gani hutumika kwenye harusi?

pete ya ndoa, keki ya ndoa, fungu la maua

(10) Maneno gani hutaja wakati unaofuata kufunga kwa ndoa papo hapo?

fungate, ukamilisho wa ndoa kwa ngono

(11) Maneno gani huwataja mume na mke baada ya harusi?

newlyweds, honeymooner, man and wife,

(12) Maneno gani hutaja tarehe ya harusi ambayo husherehekewa kila mwaka?

wedding anniversary,

2.6.1.3 Kutokuoa, kutokuolewa


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na kutokuoa au kutokuolewa.

(1) Maneno gani hutaja hali ya kutokuoa wala kutokuolewa?

kutokuoa, kutokuolewa, useja

(2) Maneno gani humtaja mwanamke asiyeolewa?

mwanamke mseja, asiyeolewa

(3) Maneno gani humtaja mwanamume asiyeoa?

kapera

2.6.1.4 Talaka


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na talaka--mwisho wa ndoa yako kwa njia za sheria.

(1) Maneno gani hutaja tendo la kumpa talaka mke wako au mume wako?

get divorced, divorce (v), get a divorce, end in divorce, dissolution, dissolve,

(2) Maneno gani hutaja talaka?

divorce (n), divorcement,

(3) Maneno gani humtaja mtu aliyepewa talaka?

mtalaka

(4) Maneno gani humwelezea mtu aliyepewa talaka?

divorced, estranged,

(5) Maneno gani hutaja tendo la hakimu au jaji kutangua ndoa?

grant a divorce, annul, annulment,

(6) Maneno gani hutaja matendo ya kisheria ya kutangua ndoa?

cheti ya talaka, mahakama ya talaka

(7) Maneno gani hutaja kumwacha mume au mke wako?

leave (your spouse), walk out on, leave (your spouse) for another man/woman,

(8) Maneno gani hutaja kipindi ambacho mume na mke wameacha kuishi pamoja?

separate, separation, estrange, split up, break up (a marriage), live apart,

(9) Maneno gani huonyesha ni nani anayetunza watoto?

get custody, alimony,

2.6.1.5 Upendo wa kusisimua au kuvutia


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na upendo wa kuvutia au kusisimua.

(1) Maneno gani hutaja kumpenda mtu?

love, be in love,

(2) Maneno gani hutaja kuanza kumpenda mtu?

fall in love, love at first sight, be swept off your feet, be interested in, fancy,

(3) Maneno gani hutaja kumpenda mtu sana?

be madly in love, be head over heels in love, infatuated, have a crush on, be mad about, be crazy about, be besotted,

(4) Maneno gani hutaja hisia za upendo?

love, passion, romance,

(5) Maneno gani huelezea kitu ambacho mtu husema au hufanya ikiwa anampenda mtu mwingine?

passionate, romantic,

(6) Maneno gani humtaja mtu unayempenda?

lovers, the one you love, the love of your life,

(7) Maneno gani hutaja tendo la kufanya kitu pamoja na mtu unayempenda?

date, go out with, see someone, ask out, ask someone for a date,

(8) Mtu anamwita majina gani mtu mwingine anayempenda?

love, dear, honey, darling, dearest, sweetheart,

(9) Maneno gani hutaja matatizo kati ya watu wanaopendana?

hurt someone, break someone's heart, grow apart, break up,

(10) Maneno gani hutaja tendo la kupendana tena baada ya kuwa na tatizo?

make up, get back together,

2.6.1 Ndoa


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na hali ya ndoa.

(1) Maneno gani hutaja tendo la kufunga ndoa na mtu?

marry, marriage, get married, tie the knot, get hitched, join together, unite, wed, marry into,

(2) Maneno gani hutaja hali ya ndoa?

ndoa, kuoa, kuolewa, kuoana

(3) Maneno gani hutaja hali ya kuoana na mtu?

be married to,

(4) Maneno gani huwataja watu ambao wameoana?

mume na mke, wachumba, maharusi, wapenzi

(5) Maneno gani hutumika kuelezea uhusiano katika mume na mke?

kuoana, upendo, kupendana, kumjali mpenzi

(6) Maneno gani hutaja tendo la kuoana tena baada ya kufiwa au kuachika?

remarry, remarriage,

(7) Maneno gani hutaja tendo la kuoa zaidi ya mke mmoja (au kuolewa zaidi ya mume mmoja)?

bigamy, bigamist, bigamous, concubinage, concubine, harem, polygamist, polygamous, polygamy,

(8) Maneno gani hutaja tendo la kuoa mtu mmoja tu?

monogamous, monogamy,

(9) Maneno gani hutaja tendo la kuoa mtu kutoka katika kabila lingine au taifa lingine?

inter-racial marriage, miscegenation,

(10) Maneno gani hutaja tendo la kuishi na mtu ambaye hamjaoana?

live with, cohabit, cohabitation, common-law marriage,

(11) Maneno gani hutaja tendo la kuoa au kuolewa na ndugu wa karibu?

incest, intermarry,

(12) Maneno gani hutaja tendo la kuoa mjane wa mdogo wako?

levirate marriage

(13) Maneno gani huelezea kitu kinachohusiana na ndoa?

married, marital, matrimonial, conjugal, nuptial, connubial,



Download 2.8 Mb.

Share with your friends:
1   ...   27   28   29   30   31   32   33   34   ...   206




The database is protected by copyright ©ininet.org 2024
send message

    Main page