Mwezi Tumia eneo hili kwa maneno yanayohusiana na mwezi



Download 2.8 Mb.
Page66/206
Date08.01.2017
Size2.8 Mb.
#7963
1   ...   62   63   64   65   66   67   68   69   ...   206

3.5.2.4 Kuungama


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayotaja tendo la kukiri au kuungama jambo--yaani kusema kwamba umekosa au maoni yako hayakuwa sahihi.

(1) Maneno gani hutaja tendo la kuungama jambo fulani?

kuungama, kukiri

(2) Maneno gani hutaja tendo la kukataa kuungama jambo fulani?

kukanusha, kuhini

3.5.2 Kuhutubia


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na tendo la kutengeneza au kuandaa hotuba--yaani kuzungumza kwa watu wengi kwa muda mrefu.

(1) Maneno gani hutaja tendo la kuhutubia?

kuhutubia, hotuba

(2) Maneno gani humtaja mtu anayetunga au kuandaa hotuba?

speaker, preacher, teacher, lecturer

(3) Maneno gani huwataja watu wanaosikiliza hotuba?

audience

(4) Maneno gani hutaja kile kinachosemwa?

speech, sermon, lecture (n), talk (n), address (n), oration, homily

(5) Maneno gani hutaja sehemu za hotuba?

introduction, body of a speech, point, make a point, conclusion, concluding remarks,

(6) Maneno gani hutaja tendo la kujua au kujifunza namna ya kutoa hotuba nzuri?

oratory, homiletics

(7) Maneno gani humwelezea mtu anayezungumza kwa muda mrefu?

long winded

3.5.3.1 Neno


Tumia eneo la maana hili kwa maneno ambayo yanahusiana na maneno au makundi ya maneno.

(1) Maneno gani hutaja neno?

word, term, verbal,

(2) Maneno gani hutaja maneno ambayo ni sawa katika maana yake?

synonym, synonymous, derivative, antonym, opposite of,

(3) Maneno gani hutaja maneno ambayo yana sauti zinazofanana?

homograph, homonym, homophone, homophonous, rhyme,

(4) Maneno gani hutaja namna neno linatakiwa kusemwa?

pronunciation, pronounce, stress, tone, vocalization,

(5) Maneno gani hutaja namna neno linavyotakiwa kuandikwa?

spelling, spell, misspell

(6) Maneno gani hutaja neno jipya?

coin a term, coinage, neologism,

(7) Maneno gani hutaja neno la zamani?

archaic, archaism,

(8) Maneno gani hutaja historia ya neno?

etymology, derivation, etymon,

(9) Maneno gani hutaja maneno maalumu?

acronym, anagram,

(10) Maneno gani hutaja maneno maalumu ambayo hutumika kwa kuzungumza kuhusu eneo mahsusi la maisha?

terminology, jargon, technical term, specialized vocabulary,

(11) Maneno gani hutaja maneno yote ya lugha fulani?

vocabulary, lexicon, dictionary, glossary,

(12) Maneno gani hutaja muundo mfupi wa neno?

abbreviation, abbreviate, be short for, for short, stand for, contraction,

(13) Maneno gani hutaja sehemu ya hotuba au kauli?

phrase, clause, sentence, utterance, discourse, formation, locution,

(14) Maneno gani hutaja sehemu ya maandiko?

paragraph, text, section, chapter, point, construction, document, passage, portion,

(15) Maneno gani hutaja kundi la maneno ambalo huelezea maana maalumu au mahususi?

adage, aphorism, byword, cliché, dictum, epigram, expression, idiom, motto, phrase, proverb, saying, slogan, watchword,

(16) Maneno gani hutaja maneno mawili ambayo mara kwa mara yanatumika pamoja?

collocate, collocate (v),

3.5.3.2 Taarifa


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na taarifa--yaani jambo ambalo mtu anasema kuhusu jambo fulani.

(1) Maneno gani hutaja taarifa?

taarifa

(2) Maneno gani hutaja taarifa zilizokusanywa na kuratibiwa?

file, record, dossier, database

(3) Maneno gani huelezea jambo ambalo linatoa taarifa nyingi?

informative

3.5.3 Lugha


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayohusiana na lugha.

(1) Maneno gani hutaja lugha?

language, tongue, speech, lingo

(2) Maneno gani hutaja aina ya lugha ambayo mtu anazungumza?

dialect, foreign language, accent, pidgin, slang, colloquial,

(3) Maneno gani hutaja lugha ya kwanza uliyojifunza ulipokuwa mtoto?

first language, mother-tongue, native speaker

(4) Maneno gani hutaja lugha uliyozoea kuzungumza kuhusu jambo mahsusi au jambo maalumu?

terminology, jargon, specialized vocabulary, technical terms,

(5) Maneno gani hutaja lugha maalumu au lugha ya siri?

code, sign language, computer language

(6) Maneno gani hutumika kuongea kuhusu lugha kwa jumla?

sarufi, mambo ya kiisimu, maana

3.5.4.1 Hadithi, hekaya


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayotaja hekaya au jambo lisilo la ukweli--yaani simulizi ambayo watu husimulia ambayo sio ya kweli.

(1) Maneno gani hutaja hadithi za zamani au hekaya?

hadithi, hekaya, ngano

3.5.4.2 Msemo, methali


Tumia eneo la maana hili kwa maneno yanayotaja msemo au methali--yaani maneno kwa ufupi ambayo watu husema kwa lengo la kufundisha jambo fulani.

(1) Maneno gani hutaja msemo?

saying, proverb, adage, axiom, byword, expression, formula, maxim, moral, saw, truism, household word, well-turned phrase

(2) Maneno gani hutaja msemo uliochukuliwa kwenye kitabu au filamu?

quotation,

(3) Maneno gani hutaja msemo ambao hutumiwa na mtu kwa kueleza imani zao?

motto, slogan, catchphrase,

(4) Maneno gani hutaja msemo ambao hutumika mara kwa mara na watu hufikiri ni upuuzi?

cliché, platitude,

(5) Maneno gani huelezea msemo?

proverbial, axiomatic, pithy, succinct, terse,

(6) Watu hutumia maneno gani wanapoanza kusema msemo?

as the saying goes, as they say, to coin a phrase,



Download 2.8 Mb.

Share with your friends:
1   ...   62   63   64   65   66   67   68   69   ...   206




The database is protected by copyright ©ininet.org 2024
send message

    Main page